Sunday, February 5, 2017

MUIMBAJI WA AMBASSADORS YOMBO AFUNGA NDOA RASMI.


 Na. ABG -ONLINE TV
Muimbaji wa Ambassadors Yombo SDA,  Lilian Daniel amefunga ndoa rasmi na Ndugu Elio Richard , Ndoa hiyo imefungwa leo Tar 5/02/2017  katika kanisa la waadventista wasabato GANGILONGA IRINGA.

ABG online tv tunawatakia mafanikio katika safari hiyo ya maisha na Mungu wa mbinguni awabariki sana.
   

Mr & Mrs Elio katikati pamoja na Mates na Matrons.
Mr & Mrs Elio Richard katika pozi
Mdogo wa bibi arusi Amos daniel (kushoto) na Salome kepha (kulia,)


Bibi arusi na rafiki na mwana chama mwenza wa Ambassadors yombo
 Contacts:
ABG - ONLINE TV
+ 255659570630
 +255659445425
+255714007330

No comments:

Post a Comment