Monday, February 27, 2017

MIRIAM CHIRWA ABATIZWA KWA MAJI MENGI.


ABG ONLINETV

Muimbaji wa nyimbo za injili MIRIAM CHIRWA amempokea yesu kwanjia ya  ubatizo wa maji Mengi, katika ubatizo uliofanyika jumamosi Tar 25/02/2017, katika kanisa la waadventista wa sabato Temeke jijini Dar es Salam.


Ambapo aliambatana na watu zaidi ya 50 waliojitoa kubatizwa kutokana na Mkutano mkubwa  wa injili unaoendelea jijini Mwanza ujulikanao kama  USHINDI HATIMAYE unaosimamiwa na kanisa la waadventista wa sabato kupitia  chama cha wanataaluma na wajasiriamali (ATAPE),




 Mahubiri hayo yanarushwa mubashara kutoka katika kanisa la waadventista wasabato Mabatini Mwanza kupiti vituo mbalimbali vya Television na Radio ambavyo ni Morning star Tv na Radio, Star Religion .

Endelea kufatilia mahubiri hayo na kwa hakika utabarikiwa




abg -Online Tv
+255659445425
+255659570630
+255714007330

No comments:

Post a Comment