Mch:Tumaini Lugembe |
Na.GODWIN PETER(ABG-ONLINETV)
Aliyekua Mchungaji wa Mtaa wa SIRARI uliopo Mara -Tarime TUMAINI LUGEMBE,amefariki dunia leo hii baaada ya kupata ajali ya kugongwa na gari pindi alipokua kwenye pikipiki kuelekea shule ya jirani kwa ajili ya kuendesha kipindi cha dini.
Abg -Onlinetv tunapenda kuwapa pole wafiwa wote kwa kipindi hiki kigumu na Mungu wa mbinguni awe mfariji wenu wa pekee kwa kipindi chote.
abg-Onlinetv
+255659570630
+255659445425
Email:abgonlinetv@gmail.com
No comments:
Post a Comment