Mch:Samuel Michael (Mtaa wa Yombo) |
Na. ABG-ONLINE TV
Kanisa la waadventista wasabato Yombo linaendelea na Mkutano wa injili unaofanyika katika kijiji cha MANGAKA kilichopo Mtwara kusini mwa Tanzania.
Muhutubu mkuu katika mkutano huo ni Mchhungaji wa Mtaa wa Yombo,Mch.Samuel Michael,akisaidiana na Ramadhan Juma katika masomo ya AMR.
Ramadhani Juma(Muinjilisti AMR) |
Pia kwaya ya Familia ya injili imekua ikiendelea na huduma ya kutembelea na kushuhudia katika maeneo mbalimbali ya Mangaka na kuendelea pia kutoa huduma ya nyimbo katika mkutano huo.
Familia ya Injili choir |
No comments:
Post a Comment