Sunday, October 16, 2016

BUNGU:MKUTANO WAFUNGULIWA

YONA MABU:Mchungaji Mtaa wa Amani.

Katika eneo la BUNGU lililopo Mkoa wa PWANI ; Tanzania ,imeshuhudiwa mkutano wa injili ukifunguliwa rasmi katika eneo hilo.

Muhutubu Mkuu katika mkutano huo ni PR:Yona Mabu ambye ni mchungaji wa Mtaa wa Amani.

Uimbaji katika mkutano huo unasimamiwa na kikundi cha JERUSALEM SINGERS kutoka katika kanisa la waadventista wasabato Amani,ambacho kimetoka kufanya shooting ya DVD yao hivi karibuni.

JERUSALEM SINGERS

Mikutano mbalimbali imekua ikiendelea kufanyika katika maeneo ya kusini mwa Tanzania,ambayo inasimamiwa na Conference ya SEC.


#Endelea kua nasi kwa habari mbalimbali za injili na kijamii. 

#KWA MATANGAZO NA HABARI WASILIANA NASI KUPITIA:

+255659570630

+255659445425.

Email:abgonlinetv@gmail.com






No comments:

Post a Comment