Umoja wa wanafunzi wa kiadventista wasabato wanaosoma katika vyuo vya elimu ya Juu katika kanda ya SEC,wamekua wakiendelea na mkutano wa injili katika kijiji cha MBAE kilichopo MTWARA mjini.
Mkutano huo unatarajiwa kuhitimishwa mnamo Tarehe 29/10/2016
Muhutubu wa masomo ya Afya katiak mkutano huon ni Ndg:JOSHUA KANDOGA, ambaye ameambatana na wahutubu wengine katika masomo mbalimbali ya Mafundisho ya Neno la Mungu.
Ndg:Joshua Kandoga (Masomo ya Afya) |
Endelea kua nasi kwa habari kemkem za injili na jamii ili uweze kujua yanayo jiri kwa wakati
abg-Onlinetv
+255659570630
+255659445425
Email:abgonlinetv@gmail.com
No comments:
Post a Comment