Friday, August 19, 2016

Usain Bolt-NayawezaYote katika Yeye Atutuaye Nguvu.

Kutoka Adventist Review
Mwanadamu mwenye spidi zaidi duniani, raia wa nchi ya Jamaica Usain Bolt mshindi medali ya dhahabu katika mashindano ya olimpiki huko Rio Brazil, ni kijana aliyelelewa katia famili ya waadventista wasabato japo yeye si mshiriki wa kanisa hilo, Usain Bolt amekuwa akisafiri biblia yake kila mahali anapokwenda, iko siri zaidi ya ushindi anayotumia Usain Bolt nayo ni kumtegemea Mungu, sio tu kwa kufanya mazoezi pekee bali kusoma neno lake na maombi.

Nasi tuna nafasi ya kusaidia jamii inayotuzunguka kumtumainia Mungu katika maisha yao ya kila siku.

No comments:

Post a Comment