Friday, March 24, 2017

SIKILIZA WIMBO TOKA BESTSONG GROUP TOKA GOMA NCHINI DRC.




Kundi hili la BestSong ni kundi linalopatikana katika mji wa Goma nchini DRC.
Kundi hili linapatikana katika anisa la Waadventista wasabato Himbi lililopo Goma DRC. Kundi hili lilianza mnamo mwaka 2012 likiundwa na vijana wapatao tisa (9) wakiwa na lengo la kuhubiri injili nchini Congo na ulimwenguni kote kupitia uimbaji.

Kundi hili Wamefanikiwa kutoa albam yao ya kwanza mwaka huu 2017 ikiwa na nyimbo Saba, ambazo zimeimbwa kwa Acapella na kwa kutumia ala za muziki.
kwa sasa kundi hili lina jumla ya waimbaji 7,  

  • Michael LUVATSUNGANA,  
  • Josue NKIZINKIKO
  •  Amini SINIGENGA
  •  Jilson MBAMBA,
  •  Daniel MUKUMBA,  
  • Philemon HABIMANA,  
  • James MIYISA.

Vijana hawa wako chini ya uangalizi wa viongozi toka kanisa la Himbi nao ni 
  •  Olivier LYAKE president,
  •  Esther BAABO vice president, 
  • Adeline KASONGO Mshauri, 
  • Samy WAVO Mshauri


2 comments: